Evelyne nigo nanchete abana “kianda gia ikomi”. Eke nakio kiagerire arikire emagano emenke ya abana na chingero. Oteseire mono ase amasomo ye chingero ya “Kenya music festivals syllabi”.
Evelyne anapenda watoto na ameandika vitabu vya hadithi na mashairi. Baadhi ya vitabu vyake vimechapishwa na vingine havijachapishwa. Pia amechangia katika sehemu ya ufasaha wa mashairi katika tamasha za muziki nchini Kenya.
Evelyne anapenda watoto na ameandika vitabu vya hadithi na mashairi. Baadhi ya vitabu vyake vimechapishwa na vingine havijachapishwa. Pia amechangia katika sehemu ya ufasaha wa mashairi katika tamasha za muziki nchini Kenya.