• Tujifunze Mashairi

    0

    Mwandishi ameshughulikia kwa mapana na marefu katika uchanganuzi wa vipengele muhimu vya fasihi simulizi kwa kina ili kumwezesha mwanafunzi kuelewa na kufahamu mashairi kwa ufasaha.
    Mbali na kushughulikia vipengele muhimu, mwandishi amemulikia masuala ibuka katika jamii zetu. Kitabu hiki, vilevile, kitawafaa wanafunzi, walimu na watahini katika maandalilzi ya mtihani husika.

    KSh500.00
    Add to cart