Muhindo Augustine Bin Mali

Muhindo Augustine Bin Mali

Udhalimu wa wanawake na wanaume ni suala la kawaida. Kazi hii inadhihirisha uhalisia wa maisha katika familia nyingi za kisasa ambapo kuna ufeministi ambapo hata mwanamke anahisi kuwa nguzo ya familia. Maisha hayo ni sawa na yale watu waliyokuwa wakiishi katika nchi dhahania ya Sokoya, iliyokuwa na makabila mawili yaani Wakomoro na Warambi.

Let's Connect

Books By Muhindo Augustine Bin Mali