Evelyne anapenda watoto na ameandika vitabu vya hadithi na mashairi. Baadhi ya vitabu vyake vimechapishwa na vingine havijachapishwa. Pia amechangia katika sehemu ya ufasaha wa mashairi katika tamasha za muziki nchini Kenya.
Evelyne anapenda watoto na ameandika vitabu vya hadithi na mashairi. Baadhi ya vitabu vyake vimechapishwa na vingine havijachapishwa. Pia amechangia katika sehemu ya ufasaha wa mashairi katika tamasha za muziki nchini Kenya.