– Mwongozo wenye ufafanuzi mwafaka wa namna ya kujiandaa kwa ajili ya mtihani wa Kiswahili.
– Ufafanuzi na maelezo mapana ya hatua kwa hatua kuhusu vipengele vyote vya sarufi kwa mujibu wa silabasi ya sasa ya shule za msingi.
– Maelezo yakinifu kuhusu mbinu na utaratibu aula wa kusoma na kuelewa vifungu vya ufahamu na namna ya kujibu maswali yote yatokanayo na vifungu hivyo.