Nsemia Inc. Publishers
Kitabu hiki kinafunza umuhimu wa tabia njema kwa watoto wadogo, na pia kuwafunza kuheshimu wazazi na wakubwa wao.
Evelyne anapenda watoto na ameandika vitabu vya hadithi na mashairi. Baadhi ya vitabu vyake vimechapishwa na vingine havijachapishwa. Pia amechangia katika sehemu ya ufasaha wa mashairi katika tamasha za muziki nchini Kenya.
Username or email *
Password *