• Manati ya Kiswahili Toleo la KCSE Fasihi Simulizi

    0

    Ufafanuzi Tondozi wa Fasihi Simulizi ni kitabu kinachotoa mwelekeo wa usomaji na ufundishaji wa fasihi ya Kiswahili hasa katika kiwango cha sekondari na vyuo vikuu. Waandishi wamechanganua vipengee vya fasihi simulizi kwa utondoti ili kumsaidia mwanafunzi kupata ufahamu zaidi. Kitabu hiki kimegawanyika katika sehemu mbalimbali.

    KSh500.00
    Add to cart
  • Manati ya Kiswahili Toleo la KCSE Insha

    0

    Kitabu hiki kinamwelekeza mwanafunzi katika uandishi wa insha mbalimbali. Wanafunzi wengi pamoja na walimu hukwepa kipengele cha insha kwa madai kuwa hakivutii; jambo ambalo linasababisha matokeo mabaya. Kutokana na haya, kitabu hiki kinatoa maelekezo kwa wanafunzi na walimu kuhusu ufundishaji wa insha kwa njia bora zaidi.

    KSh500.00
    Add to cart
  • Manati ya Kiswahili Toleo la KCSE Isimu Jamii

    0

    Kitabu hiki kimetumia lugha nyepesi katika mada zote ili zieleweke vizuri bila utata wowote. Baadhi ya vipengele vilivyoshughulikia katika kitabu hiki ni:

    (i) Maana na umuhimu wa isimu jamii
    (ii) Lugha na matumizi yake
    (iii) Hadhi ya lugha
    (iv) Dhana mbalimbali za lugha
    (v) Kaida zinazotawala matumizi ya lugha n.k.

    KSh500.00
    Add to cart
  • Manati ya Kiswahili Toleo la KCSE Lugha

    0

    Kitabu hiki kimegawika katika sehemu nne muhimu. Hizi ni matumizi ya lugha, sifa/mifanyiko ya Kiswahili, isimu jamii, na historia ya Kiswahili. Mbali na maelezo murua kuhusiana na jinsi ya kukabiliana na ufahamu na ufupisho, pana maelezo yaliyotolewa kwa utondoti kuhusu michakato ya matamshi na aina kadha wa kadha za maneno. Pameangazwa pia ngeli za Kiswahili kama zinavyotumika hivi leo na misingi ya maneno.

    KSh500.00
    Add to cart
  • -38%

    The English Catapult KCSE Revision Paper 1

    0

    This book highlights the scope of examination coverage in KCSE English Paper One (101/1). Key elements to master are examined under each of the topics covered. Functional writing topics have been examined with guidelines of how to write each one of them. How to prepare and answer cloze test questions makes it easier for the learner to understand this area which, learners sometimes deem difficult. Listening and speaking skills, oral literature and oral poetry are also well covered in this paper. Examples from real life situations are given for the benefit of the learner.

    KSh500.00
    Add to cart
  • The English Catapult KCSE Revision Paper 2

    0

    This book highlights the scope of examination coverage in KCSE English Paper Two (101/2). Key elements to master are examined under each of the topics covered. The book covers four major areas: comprehension, excerpts based on set texts, poetry, oral literature, and grammar.

    KSh500.00
    Add to cart
  • The English Catapult KCSE Revision Paper 3

    0

    English Paper 101/3 is a crucial paper in the Kenyan syllabus at the secondary level. The literary texts tested in this paper engage the learner in critical thinking, which is important for individual development. Similarly, literature is about life; it provides an avenue through which students can resolve conflicts they face in real life.

    KSh500.00
    Add to cart